Thursday, September 8, 2016
MHESHIMIWA RAIS AJIONDOE KWENYE HILI LA KUHUJUMU MAMEYA WA UPINZANI.
›
Ndugu wananchi na wakazi wa Manispaa ya Kinondoni, nianze kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuepushia mabalaa na kutujalia Afya njema.Hatuna l...
Meya Boniface Jacob atembelea vikundi vya wajasiriamali katika Manispaa ya Kinondoni
›
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Boniface Jacob, Jana Jumatano 25/8/2016 alitembelea zaidi ya vikundi 10 vya wajasiriamali ili kuan...
Saturday, August 6, 2016
Meya Boniface Jacob atoa vyeti kwa wasaidizi wa ustawi wa jamii Kinondoni.
›
MSTAHIKI wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Boniface Jacob jana 28/7/2016 alifunga mafunzo ya wasaidizi ustawi wa jamii 237 na kutoa ...
Friday, August 5, 2016
KMC - FC yainyuka SIMBA SC 1 - 0
›
KMC -FC yainyuka SIMBA FC 1-0 Bao la dakika ya 11 liliwekwa wavuni na Rashid Roshwa wa timu ya Manispaa ya Kinondoni leo lilitosha kuizam...
Wednesday, July 20, 2016
MEYA JACOB AMKARIBISHA DC POLEPOLE
›
Amwambia anasubiri busara imwongoze kama aende Ubungo ama abaki Kinondoni na akienda ni kwa ajili yake. MSTAHIKI MEYA wa Manispaa ya ...
MEYA WA KINONDONI APOKEA MSAADA WA MADAWATI 100
›
* Awataka wahisani wengine kujitokeza kusaidia. Mstahiki Meya wa Halimashauri ya Manispaa ya Kinondoni Boniface Jacob Leo amepokea ms...
Tuesday, July 5, 2016
MSTAHIKI AFUTURISHA KINONDONI
›
Mstahiki Meya Boniface Jacob afuturisha Kinondoni. Aendeleza utamaduni ulioachwa na Londa, Mwenda. Mstahiki Meya wa Manispaa ya K...
›
Home
View web version